Wednesday, November 5, 2008

BREAKING NEWS: Jeetu patel Mahakamani

Taarifa kutoka Mahakama ya Kisutu ni kuwa Jeetu patel, na watu wengine saba wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na kesi mbili zenye mashitaka ya wizi na kughushi.
Dhamana katika kesi hizo zote mbili ziko wazi lakini hakimu amesema kwa kuwa muda ulikuwa umeisha, uamuzi kuhusu dhamana atautoa kesho. Hivyo, watuhumiwa wote wamepelekwa Segerea kupumzika.
Tinafanya jitihada za kupata hati ya mashitaka ili tuiweke hapa

No comments: