Thursday, December 31, 2009

Kawawa afariki

Mzee rashid Kawawa amefariki leo majira ya saa 3.20 katika Hospital ya Taifa ya Muhimbili kutokana na matatizo ya figo na moyo. Alifikishwa hospitali hapo jana kutoka hospital ya usalama wa taifa uiliyopo Kijitonyama ambako asubuhi alikuwa amekwenda kufanyiwa check up ya malaria kabla hajasafiri. Ilikuwa ni kawaida yake kucheck afya kabla ya kusafiri.
Alipopimwa alionekana hana malaria na akaruhusiwa kurudi nyumbani. Lakini wakati wakiwa njuia, hali yake ilibadilika ghafla na akaishiwa nguvu. wakaamua kurudisha tena hospitali ambako vipimo vilionyesha kuwa kiwango cha sukari kilikuwa chini sana, karibu na sifuri.
Akakimbizwa Muhimbili ambako vipimo zaidi vilionyesha kuwa figo zake zote mbili zilikuwa zinmeacha kufanya kazi.
Aliongezewa kiwango cha sukari na hali yake ikatengemaa. Lakini asubuhi ya leo, kama saa 12 hivi, moyo nao ukaacha kufanya kazi. Madaktari walifanya jitihada za kuuamsha lakini ulikuwa ukiamka na kufanya kazi kwa muda na kisha kuacha tena kufanya kazi hadi saa 3.20 alipofariki.
Taratibu za mazishi zinafanywa kwa pamoja baina ya serikali na familia. rais Kikwete ametangaz wiki moja ya maombolezo ya kitaifa

Afya ya Mzee Kawawa

Afya ya waziri Mkuu wa zamani na mwanasiasa mkongwe nchini, Mzee Rashid Mfaume Kawawa, bado si ya kuridhisha na amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Jana jioni ziliibuka habari za kutatanisha kutokana na uvumi kuwa Mzee Kawawa alikuwa amefariki dunia. Ukweli ni kuwa bado yuko mzima ingawa hali yake kiafya si njema sana.
Tuendelee kumuombea Simba wa Vita huyu arejee katika hali yake nzuri kwa sababu bado taifa linamuhitaji sana

We need more than a new law

It's just a matter of hours before clock ticks to 2010. It is a year which Tanzanians are obliged to make crucial decisions that will live with them for the next five years.

It is known that towards the end of 2010, Tanzanians will be required to elect their head of state, parliamentarians and councillors.

To make sure that next year's General Election is free and fair, the National Electoral Commission (NEC), has already started preparations. It plans to introduce several changes to improve the exercise.

For its part, the Government has also planned several changes, one of which is the introduction of the Election Financing Act 2009.

Basically, the law, whose draft bill was published last week in several newspapers for general public to peruse, seek to put in place provisions on how parties and candidates could seek and utilise funds for election campaign.

There is no doubt that laws and regulations are some of instruments which could be used to ensure free and fair elections.

Nevertheless, these are not enough in themselves to guarantee free and fair elections. This is because fairness and freedom of people to elect people of their liking entails many things.

For one, there is a need to ensure that the body charged with the responsibility of overseeing election issues, is respectable.

For years, political parties, especially from the opposition and other stakeholders, have questioned the independence of our election body.

NEC might be independent as its managers claim it to be. But the persistence by some stakeholders in questioning the same, puts NEC credibility at cross roads.

Because the Government has seen it better to have a law which will make the elections more effective, there is also a need to address the sentiments by the opposition parties on the partiality of NEC.

For, if the Government aspires to make the elections more effective, overhauling the laws alone will not make a big difference if the stakeholders do not trust the body which manage the elections.

Tuesday, December 22, 2009

What did we get in Copenhagen?

We sent a high powered delegation to attend the just ended United National Conference on Climate Change in Copenhagen. The Vice President, Dr Ali Mohammed Shein, led the delegation.

He had a chance to address the conference which was attended by hundreds of world leaders. The meeting was a culmination of two years debate on climate change, which centred on the need to reduce emission of gases which endangers the environment.

Africa went to the meeting with collective voice. Generally, the continent was demanding more responsibility from the developed world, as they are the major polluters of the globe. Africa also demanded ‘compensation’ from the rich world, as it was the one most impacted by the effects of global climatic changes.

But, even as Africa went to the meeting with collective voice, individual countries also had their demands. I hope Tanzania also went to the meeting with some demands.

It’s time we are told what did we attain during the two weeks debates in Copenhagen as we did sent high powered delegation on the expense of tax payers money. We should get nothing short of value for money from Copenhagen. We sent that delegation with clear mission and intensions of what we should gain from the meeting.

It will be very disappointing if our delegation had no specific Tanzanian agenda on pretext that Africa had collective demands. Tanzania is in Africa but that does not make it Africa. There are problems with regard to climate changes which are unique to Tanzania. We should have capitalised on them and used other African countries to compliment our arguments.

If we had banked on Africa agenda only, then we are doomed as we have witnessed how world leaders have pulled the debates and reached a conclusion which favours them greatly.

If we had no agenda, it means we have to live with what the rich nations have planned until the next rounds of talks and no one is assured what will be the outcome of the talks, if they are going to happen, anyway.