Saturday, November 28, 2009

Magufulu kulamba PhD leo

Waziri wa maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, John Magufuli, leo anatarajiwa kuwa miongoni mwa wahitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam watakaohitimu masomo ya Udaktari wa falsafa, yaan PhD katika kemia.
Tumpongeze Magufuli, sit u kwas kuhitimu, bali kuhitimu katiak fani ya sayansi ambayo wengi tunaiona kuwa ni ngumu

No comments: