Saturday, December 29, 2007

MATOKEO HADI SASA

hadi mchana huu, matokeo rasmi yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi ya Kenya (ECK) yanaonyesha kuwa bado raila anaongoza kwa kuwa na kura 4,356,092 akifuatiwa na Kibaki mwenye kura 4,009,300 na Musyoka ameambulia kura 452,952.
Kwenye ubunge, chama cha raila cha ODM kimejinyakulia viti 70 wakati PNU cha Kibaki kina viti 24 na ODM-K ya Musyoka ina viti 9.
Matokeo haya yanahusisha majimbo 189 kati ya majimbo 210, kwa maana hiyo bado matokeo ya majimbo 21 tu.

No comments: