Saturday, December 29, 2007

MAMBO YABADILIKA KENYA

Mambo yanaonekana kubadilika sana jioni hii katika mato9keo ya uchaguzi Kenya. Mtiririko wa matokeo ulikuwa unaonyesha kuwa upinzani unashinda, lakini takwimu za jioni hii zimebadilisha matokeo kwa kiasi kikubwa. Kwa mujibu wa ECK, Raila bado anaongoza kwa tofauti ndogo sana na kura. Mpaka sasa amepata kura 3,880,053 huku Kibaki akifuatia kwa karibu akiwa na kura 3,842,051. Nadhani Musyoka ameamua kukubali yaishe kwa sababu hakuna hata anayemtaja

No comments: