Saturday, December 29, 2007

ECK Yasitisha Matokeo

Hatimaye ECK imelazimika kusimamisha zoezi la kujumlisha na kutangaza matokeo baada ya ODM kulalamika kuhusu matokeo ya majimbo 10. ODM imetaka kwanza ifanyike kazi ya kuhakiki kura katika majimbo hayo kabla kazi ya kujumlisha na kutangaza matokeo haijaendelea. Inasemekana katika moja ya majimbo hayo, walijiandikisha watu 60,000 lakini matokeo yanaonyesha kuwa Kibaki pekee ana kura zaidi ya 80,000!

No comments: