Friday, November 9, 2007

Rafiki wa Kweli...



Awali sikufahamu kuwa urafiki baina ya makomredi hawa (John Magufuli-kushoto na Raila Odinga-kulia) ni mkubwa kiasi cha Odinga aliposikia hivi karibuni kuwa Magufuli yupouwanja wa ndege jijini Nairobi akisubiri kuunganisha ndege kuelekea Kigali, aliamua kukatisha kampeni zake na kwenda kuteta naye. Na unajua nini? Waliteta kwa takriban saa moja ila walichozungumza hadi sasa inabakia kuwa siri yao. Hakika rafiki wa kweli....

No comments: