Sunday, December 30, 2007

BREAKING NEWS-UCHAGUZI KENYA

Tume ya uchaguzi ya Kenya hivi punde imemtangaza Mwai Kibaki kuwa mshindi wa uchaguzi wa rais. Raila Odinga ameshika nafasi ya pili na Kalonzo Musyoka nafasi ya tatu.
Kwa mujibu wa ECK, Kibaki wa PNU ameshinda jumla ya kura 4,584, 721 akifuatiwa na Raila Odinga ODM aliyepata kura 4,352,993 na Musyoka wa ODM-Kenya ambaye amepata kura 879, 903.
Lakini habari za kiiteligensia zinadai kuwa yameandaliwa machafuko makubwa nchini humo na kuna uwezekano hali ya hatari ikatangazwa

No comments: