Friday, November 14, 2008

Kivuko cha Mgogoni chaota mbawa

Serikali leo imeshindwa kuzindua kivuko cha Magogoni. Ingawa waziri wa Miundombinu alishaandaliwa, na kufikishwa kilipo kivuko hicho, lakini shughuli za kukizindua kwa ajili ya safari za majaribio haikufanyika wka maenelezo kuwa bado kuna mambo ya kiufundi hayajakamilika.
nakihusisha habari hii na ile taarifa ya rais Kikwete kupelekwa kuzindua daraja ambalo halijakamilika huko Ruvuma, napata wasi wasi kuhusiana na umakini wa watendaji wetu serikalini

No comments: