Friday, November 14, 2008

Magogoni yapata kivuko kipya

Kivuko kipya cha Magogoni jijini Dar es Salaam kinazinduliwa leo. Kivuko hicho kikubwa, chenye uwezo wa kubeba watu 2,000 na tani nyingi za mizigo kwa wakati mmoja kinatarajiwa kuwa mkombozi kwa wakazi wa Kigamboni, ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakisumbuka sana kutokana na matatizo ya usafiri.
Tutawaletea taarifa zaidi baadaye baada ya uzinduzi

No comments: