Thursday, November 27, 2008

NEWS ALERT: Hatma ya akina Mramba kesho

Hatma ya basil Mramba na mwenzake Daniel Yona kuhusiana na dhamana yao, itajulikana kesho baada ya leo Mahakama Kuu kulikubali ombi lao la kukata rufaa dhidi ya masharti magumu ya dhamana waliyowekewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

No comments: