Monday, October 26, 2009

Sarakasi za tatizo la umeme

waziri Ngeleja anaeleza kuwa hakutakuwa na ongezeko la bei ya umeme baada ya kuanza kutumika kwa mitambo ya IPTL. Anasema hivyo akijua kuwa gharama za kuitumia IPTL ni kubwa sana. Anajidanganya.
hata kama hakutakuwa na ongezeko la beo moja kwa moja itakayolipwa na mtumiaji, lakini gharama hizo kubwa ni lazima zitalipiwa na serikali. Ina maana bado fedha za walipa kodi, fedha wananchi, ndizo zitakazotumika kulipia gharama hiyo. Kwa nini Ngeleja anatudanganya kuwa hakutakuwa na ongezeko la bei wakati gharama hizo tunazilipa sisi wenyewe?

No comments: