Thursday, November 5, 2009

Richmond yaota mbawa Bungeni

Kuna uwezekano mdogo sana wa Bunge linalomaliza kikao chake Jumamosi kujadili ripoti ya serikali kuhusu utekelezajiw a maazimio ya Bunge yaliyomo kwenye ripoti ya Bunge iliyotolewa mwaka jana.
Ratiba zilizotolewa hapa Bungeni zinaonyesha kuwa hakuna majadiliano kuhusu ripoti hiyo kama ilivyokuwa inadatarajiwa. Kamati ya Nishati na Madini haina ratiba ya kujadili ripoti hiyo ambayo waziri aliahidi kuipatia hapa Dodoma. Na waziri mwenye wala hayupo Dodoma

No comments: